Jiunge na maelfu ya Wakristo ulimwenguni wenye uzoefu mkubwa wa Imani iliyo ya kweli katika kukuza na kuendeleza Imani yako katika Kristo kwa kutumia App hii.
App hii inakuweza/itakuwezesha kufanya yafuatayo;
1. Kujifunza namna njema ya kusali/kuomba sala/maombi yenye mafanikio katika maisha yako ikiwepo kuombea mambo mbalimbali kama vile:-
   ✔Ndoa/Mahusiano
   ✔Kazi
   ✔Msamaha
   ✔Masuala ya kifedha
   ✔Uponyaji
   ✔Nguvu za giza na mengine mengi.
2. Kujifunza visa mbalimbali vya Biblia vitakavyoweza kukusaidia kukua kiroho na kiimani.
3. Kujifunza unabii na maana ya aya/mafungu mafungu katika Biblia.
4. Kujifunza mafundisho mbalimbali ndani ya Biblia kama vile:-
   ✔Uponyaji
   ✔Upendo
   ✔Msamaha
   ✔Ufufuo
   ✔Ndoa/Mahusiano
   ✔Imani nakadhalika
5. Kujifunza namna ya kufanya ibada inayokubalika mbele za Mungu.
Mbali na hayo yote App hii inakupatia/itakupatia nafasi ya kupata nyimbo zote za vitabuni (nyimba za ibada) kama vile:-
   ✔Nyimbo za Injili
   ✔Tenzi za Rohoni
   ✔Nyimbo za Wokovu
   ✔Nyimbo za Ibada
   ✔Mwimbieni Bwana
   ✔Nyimbo za Kristo
   ✔Nyimbo za Imani Yetu
   ✔Nyimbo za Wasanii Mbalimbali
VIPENGELE MUHIMU KATIKA APP HII;
1. Sala na Maombi
2. Ibada Kila Siku
3. Visa vya Biblia
4. Gunduzi Muhimu
5. Unabii
6. Nyimbo za Ibada
7. Mafundisho ya Biblia
NOTE: App hii ni mahususi na maalum kwa Wakristo wote ulimwenguni. Pakua App hii na ujifunze ukuu wa Mungu katika maisha yako ya kila siku.