App Hii imesheni Nyimbo za injili ambazo ziliwahi kutamba kipindi cha Nyuma . Pia App hii inajumuisha Kwaya mbalimbali zilizo tamba pamoja na waimbaji binafsi
YALIYOMO:
*Kwaya Mbalimbali
>Kijitonyama kwaya
>Katika Viumbe Vyote kwaya
>Mtoni Evangelical Kwaya
> Kitimtim Kwaya
> Kwaya ya Mtakatifu Cesilia Arusha
>AIC Shinyanga Kwaya
> AIC Makongoro Kwaya
>KKT Msasani Kwaya
> Ambassadors Of Christ Kwaya
> Kwaya Vijana Kasulu
WAIMBAJI BINAFSI:
*Charles Jangalason
* Mch. Faustini Munishi
*Fanuel Sedekia
* Bonny Mwaitege
* Christina Shusho
* Beatrice Muhone
* Upendo Nkone
Na wengine Wengi.